Alfabeti ya Kiswahili

KShs 20.00

-
+

Specs

Category:

Description

Shughuli 1:  Alfabeti ya Kiswahili

Sauti ni sehemu ndogo kabisa ya neno ambayo haiwezi kugawika zaidi, na hudhihirishwa kwa mlio unaotokana na tamko.

  • Sauti huandikwa kwa kutumia alama zinazoitwa herufi.
  • Jumla ya herufi za lugha ambazo zimepangwa kwa utaratibu maalum uliokubaliwa huitwa Alfabeti.
  • Alfabeti ya Kiswahili inajumuisha herufi thelathini.
  • Kila herufi ya alfabeti ya Kiswahili inahusishwa na sauti moja tu.

Shughuli 2:  Kukariri kwa alfabeti ya Kiswahili

Jifunze wimbo wa alfabeti ufuatao kisha uutumie kuandaa ngoma maalum ya kuburudisha wanafunzi wengine darasani.

Shughuli 3: Alfabeti kamili ya Kiswahili

Andika alfabeti ya Kiswahili katika kitabu chako cha mazoezi.

a

b

ch

d

dh

e

f

g

gh

h

i

j

k

l

m

n

ng’

ny

o

p

r

s

sh

t

th

u

v

w

y

z

Kumbuka: Alfabeti ya Kiswahili haina herufi c, q, na x.

Zoezi

Back to Course

Alfabeti ya Kiswahili

0% Complete
0/0 Steps
Quiz 1 of 0

Alfabeti ya Kiswahili

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Alfabeti ya Kiswahili”