Description
Shughuli 1: Alfabeti ya Kiswahili
Sauti ni sehemu ndogo kabisa ya neno ambayo haiwezi kugawika zaidi, na hudhihirishwa kwa mlio unaotokana na tamko.
- Sauti huandikwa kwa kutumia alama zinazoitwa herufi.
- Jumla ya herufi za lugha ambazo zimepangwa kwa utaratibu maalum uliokubaliwa huitwa Alfabeti.
- Alfabeti ya Kiswahili inajumuisha herufi thelathini.
- Kila herufi ya alfabeti ya Kiswahili inahusishwa na sauti moja tu.
Shughuli 2: Kukariri kwa alfabeti ya Kiswahili
Jifunze wimbo wa alfabeti ufuatao kisha uutumie kuandaa ngoma maalum ya kuburudisha wanafunzi wengine darasani.
Shughuli 3: Alfabeti kamili ya Kiswahili
Andika alfabeti ya Kiswahili katika kitabu chako cha mazoezi.
Kumbuka: Alfabeti ya Kiswahili haina herufi c, q, na x.
Zoezi
0 of 5 Questions completed
Questions:
You have already completed this quiz. You cannot start it again.
You must sign in or sign up to take this quiz.
You must first complete the following:
Quiz complete. Results are being recorded.
0 of 5 Questions answered correctly
Your Time:
Time has elapsed.
You have reached 0 of 0 point(s), (0)
Earned Point(s): 0 of 0, (0)
0 Essay(s) Pending (Possible Point(s): 0)
-
Current
-
Review
-
Answered
-
Correct
-
Incorrect
-
-
-
-
-
Reviews
There are no reviews yet.